Welcome to F.I.E.L.D.- the First Ismaili Electronic Library and Database.

Ali Mohamed Shein

SHEIN AKUTANA NA IMAM AGA KHAN - 2007-08-16

2007, August 16: Akizungumza na Makamu wa Rais Dk. Ali Mohamed Shein leo Ikulu Jijini Dar es salaam Imam Aga Khan amesema chuo hicho kitajengwa mkoani Arusha na kwamba kitakuwa cha aina yake katika Afrika kutokana na kuhusisha masomo ya taaluma muhimu pekee. [Kikwete Shein]


Syndicate content

Back to top