AGA KHAN ASIFU UVUMILIVU WA KIDINI NCHINI - 2007-08-20
2007, August 20:KIONGOZI mkuu wa madhehebu ya Shia Ismailia duniani, Karim Aga Khan, amesema serikali na Watanzania wanastahili pongezi kwa kuendeleza na kusimamia uhuru wa watu kuabudu kulingana na imani zao huku wakiishi kwa amani na utulivu. [Free Media]

